Crescentiua Magori: CEO Simba SC

Klabu ya Simba ambayo imeingia rasmi kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa kampuni, imemtangaza Crescentius Magori kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa kampuni ya Simba Sports Club.

Magori ametangazwa kuwa CEO wa SSC katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo unaoendelea Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, Posta jijini Dar es salaam.

Magori amewaahidi wanachama wa klabu ya Simba kuwa ataifanya klabu hiyo kuwa ya kisasa

Amesema ataifanya Simba kuwa klabu yenye mafanikio sio Tanzania tu, bali Afrika nzima

Leave a comment