
10 bora ya vilabu vilivyolipwa fedha nyingi katika mishahara ya wchezaji msimu wa 2017/18.
Barcelona wanaongoza wakifuatiwa ba mahasimu wao Real Madrid – kimsingi mahasimu hawa wawili wanatumia £766m kwa mwaka kulipa wachezaji wao – fedha hizi ni zaidi ya jumla ya fedha zote zinazotumika na vilabu vingine 18 kulipa mishahara kwa msimu.
:
Wanaofuatiwa na Manchester United na City.
:
Gunners wao wanafunga orodha ya 10 bora kwa kulipa mishahara ambayo inazidiwa mara mbili na ile ya Barcelona.