STARS: inahitaji Ushindi vs Losotho

Ushindi wa Uganda leo umeirahisishia zaidi Taifa Stars nafasi ya Kufuzu Afcon Mwaka huu endapo tutaibuka na ushindi kesho dhidi ya Lesotho basi moja kwa moja tutakuwa tumefuzu
.
.
Mwisho tutarudi kucheza mchezo wa mwisho na Uganda ambao tayari nao wamefuzu leo

Credit@
#sokaonlineUpdates