Ushindi wa Uganda leo umeirahisishia zaidi Taifa Stars nafasi ya Kufuzu Afcon Mwaka huu endapo tutaibuka na ushindi kesho dhidi ya Lesotho basi moja kwa moja tutakuwa tumefuzu
.
.
Mwisho tutarudi kucheza mchezo wa mwisho na Uganda ambao tayari nao wamefuzu leo
Credit@
#sokaonlineUpdates