USAJILI: Singida United kumsajili Nyota huyu wa Liberia

Klabu ya @officialsingidaunitedfc imefanikiwa kumsajili nyota kutoka Liberia @daudabortu14 katika kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo la usajili
.
#tanzaniapremierleague🇹🇿 #sokaUpdates