USAJILI: Stand United wahamilisha Usajili wa Mchezaji Huyu

#DealDone.
Klabu ya Stand United ya Shinyanga imekamilisha usajili wa Mchezaji MAJALIWA SHABANI MAJALIWA kutoka Mbeya City kwa mkataba wa mwaka mmoja #tanzaniapremierleague🇹🇿 #sokaUpdates