PICHA: Simba sc ilivyowasili Tanzania

Kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba kimewasili leo Alhamisi mchana kutoka eSwatini kutimiza majukumu ya Kimataifa.

Mashabiki wengi wamejitokeza kuwalaki wekundu hao wa Msimbazi ambao wamefanikiwa kutinga raundi ya kwanza ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika.