FELIX MINZIRO Arejea Kikosini SINGIDA UTD

Klabu ya Singida United imemrejesha aliyekuwa kocha wake Fred Felix Minziro ili kusaidiana na Dragan Popadic kuhakikisha wanajiweka vizuri kunako Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
.
Awali Minziro aliachwa baada ya kuipandisha Singida United Ligi Kuu mwaka 2017.
.
Kocha huyo miezi michache iliyopita aliondolewa kunako klabu ya Arusha United inayoshiriki Ligi daraja la kwanza kwa kile kilichodaiwa kuwa hakuwa na mwenendo mzuri na kikosi hicho