
Chikupe aliumia katika mchezo wa kombe la Azam (ASFC) uliopigwa Jumapili iliyopita mkoani Lindi na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC. Matokeo yaliyoipeleka Yanga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo
Nae kiungo Thabani Kamusoko aliyekuwa majeruhi kwa wiki kadhaa amejumuishwa katika kikosi kilichosafiri jijini Mwanza kwa ajili ya mchezo huo
Mbali na Chikupe, mshambuliaji Matheo Anthony na kiungo Pius Buswita nao hawakusafiri na timu