Serengeti Boyz yaalikwa Ulaya

Kikosi cha timu ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 17, Serengeti Boyz kinaondoka nchini leo kwenda Uturuki kushiriki michuano ya Kimataifa ya UEFA ASSIST

Serengeti Boyz ni timu alikwa kwenye michunao hiyo ambayo itaitumia kama sehemu ya maandalizi kuelekea fainali za vijana za AFCON 2019 zitakazofanyika nchini kuanzia Apri 14 hadi April 28 Tanzania ikiwa mwenyeji

Jana vijana hao walifanyiwa vipimo vya kuhakiki umri (MRI), vipimo vilivyofanyika kwenye hospitali ya Muhimbili