
Hata hivyo Okwi bado anaweza kuungana na kikosi cha Simba kwa ajili ya mchezo dhidi ya Stand United utakaopigwa keshokutwa katika uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga
Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amesema hatma yake itategemea na ripoti ya Daktari wa timu hiyo Dk Yassin Gembe
Wakati huo huo Simba inaondoka mkoani Singida leo kuelekea Shinyanga tayari kwa mchezo dhidi ya Stand United utakaopigwa Jumapili