Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itachuana na Uganda March 24 2019 katika mchezo wa kusaka tiketi ya kutinga fainali za michuano ya AFCON 2019 itakayofanyika mwezi Juni nchini Misri
Kocha Mkuu wa Stars Emmanuel Amunike kesho Ijumaa March 08 anatarajiwa kutangaza kikosi cha Stars