Kikosi Rasmi cha TAIFA STARS vs UGANDA

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Emmanuel Amunike ametaja majina ya wachezaji 25 wanaounda kikosi cha Stars ambacho kitaikabili Uganda Cranes kwenye mchezo wa kusaka tiketi ya kutinga fainali za AFCON 2019

Miongoni mwa wachezaji waliojumuishwa katika kikosi hicho, Aishi Manula, Jonas Mkude na John Bocco wametoka katika klabu ya Simba