
Kocha Mkuu wa vinara hao wa ligi kuu Mwinyi Zahera, amewapa wachezaji mapumziko ya siku moja kabla ya kuendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Ndanda Fc
Mchezo huo utapigwa Alhamisi April 04 mkoani Mtwara kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona