
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Boniface Wambura amesema mchezo huo umeahirishwa kutokana na Simba kukabiliwa na mchezo huo muhimu wa marudiano robo fainali ya ligi ya mabingwa
Simba sasa itachuana na Biashara baada ya kumalizana na TP Mazembe April 13 2019
Wekundu wa Msimbazi wameendelea na mazoezi kwenye uwanja wa Boko Veterans kujiandaa na mchezo huo utakaopigwa Lubumbashi, DR Congo