Imeelezwa kuwa Kiungo wa Man United Paul Pogba hana uhusiano mzuri na kocha wake Ole Gunnar Solskjaer huenda sababu hiyo ikarahisisha kiungo huyo kuhamia Real Madrid mwishoni mwa msimu huu (Le Parisien via AS)
PAUL POGBA
Published
Imeelezwa kuwa Kiungo wa Man United Paul Pogba hana uhusiano mzuri na kocha wake Ole Gunnar Solskjaer huenda sababu hiyo ikarahisisha kiungo huyo kuhamia Real Madrid mwishoni mwa msimu huu (Le Parisien via AS)