
Uongozi wa Yanga umewataka viongozi wa Matawi kuwakumbusha wanachama wahakiki majina yao kwenye ‘ledger’ zilizo kwenye matawi yao
Wanachama wa Yanga pia wamekumbushwa kulipia ada za uanachama ili kuwa na sifa ya kuchagua viongozi katika uchaguzi utakaofanyika May 05
Uchaguzi utahusisha wanachama wote wenye kadi za kitabu na wale wenye kadi za posta.