
Bao pekee la Azam lilifungwa na Donald Ngoma katika dakika ya 75
Mchezo wa pili wa nusu fainali kati ya Lipuli Fc dhidi ya Yanga utachezwa Jumatatu, May 06 uwanja wa Samora mkoani Iringa
Mshindi wa mchezo huo atachuana na Azam Fc katika mchezo wa fainali utakaopigwa Juni 02 2019 uwanja wa Ilulu mkoani Lindi