Baada ya kuondoka kwa Heritier Makambo, klabu ya Yanga Sc imeanza kuwania saini ya mshambuliaji wa Coastal Union Ayoub Lyanga ili kurithi mikoba Makambo.
.
Lyanga ameifungia mabao 10 klabu yake ya Coastal mpaka sasa kunako Ligi Kuu Tanzania Bara.
Baada ya kuondoka kwa Heritier Makambo, klabu ya Yanga Sc imeanza kuwania saini ya mshambuliaji wa Coastal Union Ayoub Lyanga ili kurithi mikoba Makambo.
.
Lyanga ameifungia mabao 10 klabu yake ya Coastal mpaka sasa kunako Ligi Kuu Tanzania Bara.