– Kwa mujibu wa @skysports, Klabu ya Manchester United Imejitoa katika mbio za kumuwania Beki na nahodha wa Klabu ya Ajax, Matthijs de Ligt.
.
– 
Kwa mujibu wa vyanzo, United ilikuwa tayari kutoa £65m kuinasa saini ya Beki huyo wa timu ya taifa ya Uholanzi mwenye umri wa miaka 19; United imejitoa rasmi kumuwania De Ligt, hivyo kuna uwezekana mkubwa kwa nyota huyo kujiunga na Mabingwa wa Hispania Klabu ya FC Barcelona..
#transfers
credit: @sokawaytz