Simba yampa mtihani Meddie Kagere avunje rekodi ya Abdallah Juma kwa ufungaji msimbazi

“Amekuwa na msimu mzuri na anapambana muda wote, nadhani ataweza kufunga mabao mawili katika mchezo uliobaki na kuifikia rekodi ya Abdallah Juma nasi wachezaji tutamsaidia kwakua tunashirikiana sana,” Nahodha wa Simba, John Bocco akimzungumzia Meddie Kagere kuelekea kufikia rekodi ya ufungaji ya Abdallah Juma kwenye ligi kuu. Kwa sasa Kagere ana mabao 23.

credit: @simbamakini

Leave a comment