

Michuano ya #CastleLager #Africa5s imerejea tena kwa msimu wa pili na mwaka huu inafanyika hapa hapa nchini Tanzania.
•••
USIKOSE siku ya uzinduzi wa michuano hiyo Tarehe 8/6 Ndani ya Uwanja wa Uhuru Jijini Dar Es Salaam ambapo Gwiji wa Soka Duniani Samuel Etoo atakuwepo.
•••
Burudani ya Muziki itakuwepo kutoka kwa @officialalikiba @harmonize_tz na @officialnandy
•••
Kiingilio kitakuwa ni ‘BURE ‘
….
Ratiba ya uzinduzi.
🏆: #CastleLager #Africa5s.
🕤: Kuanzia Saa 4:00 Asubuhi.
🏟: Uwanja wa Uhuru.
🎤: @officialalikiba @harmonize_tz @officialnandy
💵: BURE.
@castlelagertz #CastleLager #Africa5s #kfs #Kitaakimetuamini
credit: @tv1tanzania