Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya castle lager msimu huu

Michuano ya #CastleLager #Africa5s imerejea tena kwa msimu wa pili na mwaka huu inafanyika hapa hapa nchini Tanzania.

•••

USIKOSE siku ya uzinduzi wa michuano hiyo Tarehe 8/6 Ndani ya Uwanja wa Uhuru Jijini Dar Es Salaam ambapo Gwiji wa Soka Duniani Samuel Etoo atakuwepo.

•••

Burudani ya Muziki itakuwepo kutoka kwa @officialalikiba @harmonize_tz na @officialnandy

•••

Kiingilio kitakuwa ni ‘BURE ‘

….

Ratiba ya uzinduzi.

🏆: #CastleLager #Africa5s.

🕤: Kuanzia Saa 4:00 Asubuhi.

🏟: Uwanja wa Uhuru.

🎤: @officialalikiba @harmonize_tz @officialnandy

💵: BURE.

@castlelagertz #CastleLager #Africa5s #kfs #Kitaakimetuamini

credit: @tv1tanzania

Leave a comment