
Klabu ya Arsenal imeanza kuwania saini ya Golikipa wa Ac Milan Gianluigi Donnarumma ili kurithi mikoba ya Peter Cech aliyetangaza kustaafu baada ya fainali ya Europa League (Daily Star)
credit: @sokaonline_

Klabu ya Arsenal imeanza kuwania saini ya Golikipa wa Ac Milan Gianluigi Donnarumma ili kurithi mikoba ya Peter Cech aliyetangaza kustaafu baada ya fainali ya Europa League (Daily Star)
credit: @sokaonline_