
✍🏻 Kumekucha Jangwani, Klabu ya Yanga SC Imekamilisha Usajili wa kiungo wa Kimataifa wa Rwanda, Patrick Papy Sibomana kwa Mkataba wa Miaka Miwili akitokea Klabu ya kwao Rwanda, Mukura Victory.
:
✍🏼 Sibomana 22, Aliwahi kuitumikia Klabu ya APR FC ya kwao Rwanda, mwaka 2017 akasaini Mkataba wa kuitumikia Klabu ya Shakhtyor Soligorsk ya Nchini Belarus kisha kurejea Rwanda mwaka huu na kutua Mukura na kisha Sasa Yanga SC ya Tanzania.
:
✍🏼 Nyota huyu ni Miongoni mwaka Wachezaji wanaounda timu ya taifa ya Rwanda “Amavubi” akiichezea timu hiyo tangu mwaka 2013 mpaka Sasa, Kafunga Magoli mawili na Moja ya Goli lake aliifunga Taifa Stars katika Mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki Tanzania ikipoteza 2-0 mwaka 2015 ndani ya Dimba La Amahoro Stadium, Kigali..
#Updates #transfers
@Sokawaytz
credit: @sokawaytz
