credit: @sokawaytz…
– Hatimae, Chelsea na Real Madrid zimefikia Makubaliano ya uhamisho wa Eden Hazard kutua Madrid kwa dau La £88m na bonasi inakadikmliwa kufika €100m.
:
– Hazard anakuwa Mchezaji wa tatu kusajiliwa na Miamba hao Baada ya Eder Militão na Luka Jovic ambao tayari wamemwaga wino..
#transfers #Updates