Harambe stars yashuka dimbani leo kukupiga na madagascar ili kujiandaa kwenda Afcon

credit: @sokaonline_…

Kikosi cha timu ya Taifa ya Kenya “Harambee Stars” kinatarajia kushuka dimbani leo dhidi ya Madagascar ikiwa ni mchezo wa maandalizi kuelekea kwenye michuano ya #AFCON2019 itakayofanyika nchini Misri.

Leave a comment