– Mbwana Samatta amefunga bao wakati klabu yake ya KRC Genk ikitoka sare ugenini ya bao 1-1 dhidi Standard de Liege katika Ligi Kuu ya Ubelgiji.
.
– Mchezo unawafanya Genk kufikisha mechi 12 msimu na zote hawajapoteza mchezo hata Mmoja, wametoka sare Mara tatu na kushinda mechi Tisa (9) na ndio vinara wa Ligi Kuu Nchini humo wakiwa na pointi 30 – Pointi tatu zaidi na wanaishika nafasi ya pili ambao ndio mabingwa watetezi Club Brugge.