Real Madrid : Kocha Mpya

– Real Madrid wanamtaka kocha mkuu wa Tottenham, Mauricio Pochettino mwenye umri wa miaka 46 kuwa kocha wao mpya baada ya kumtimu Julen Lopetegui hapo jana.
.
– Madrid wanatarajia kumtangaza kocha mpya kabla ya Kumalizika mwezi ujao wakati Kwa Kipindi hawatokuwa na kocha timu hiyo Itakuwa chini ya Santiago Solari ambaye ni kocha wa Real Madrid B “Castila”.
.
– Lopetegui alitimuliwa hapo jana baada ya Matokeo mabovu ya Klabu hiyo akidumu Kwa miezi minne na nusu tu Ndani ya Bernabeu – Sasa Madrid wanatafuta kocha mpya na tayari kuna majina matatu ya makocha wanaotajwa kuja kuifunza klabu hiyo ambao kocha wa zamani wa Chelsea Antonio Conte, kocha wa Sasa wa Tottenham Mauricio Pochettino na kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Ubelgiji, Roberto Martinez.. Instagram @Lugoyah_sports