
Ruge atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa wa kukuza sanaa hasa muziki wa kizazi kipya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ni miongoni mwa walioguswa na kifo cha Ruge ambapo ametuma salamu za rambirambi
Mungu ailaze roho yake mahali pema, AMEN