R.I.P RUGE MUTAHABA

Tasnia ya Burudani nchini imepatwa na msiba mkubwa baada ya Mkurugenzi wa vipindi Clouds Media Group, Ruge Mutahaba kufariki dunia leo Jumanne, Februari 26 wakati akipatiwa matibabu nchini Afrika Kusini

Ruge atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa wa kukuza sanaa hasa muziki wa kizazi kipya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli ni miongoni mwa walioguswa na kifo cha Ruge ambapo ametuma salamu za rambirambi

Mungu ailaze roho yake mahali pema, AMEN