Kikosi cha Yanga Sc kikiwa na wachezaji 20 pamoja na viongozi 8 kutoka bechi la ufundi, kesho asubuhi kitasafiri kwa ndege kuelekea Mwanza, tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya wenyeji @alliancefootballclub2011 utakaopigwa katika uwanja wa #ccmkirumba 2/3/2019 saa 10:00 jioni.
.
Nahodha @ibrahimajibu23 amesema Ni mchezo muhimu na mgumu, lakini maandalizi mazuri yaliyofanyika kikosini yataleta matokeo mazuri baada ya dakika 90 za mchezo.