Msafara wa wachezaji, benchi la ufundi, baadhi ya viongozi wa klabu ukiongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF ambaye pia ni Mwenyekiti Kamati ya Mashindano, Ahmed Mgoyi umefika salama Dubai. Leo usiku watalala kwenye Hoteli ya Kimataifa ya Dubai na asubuhi wataendelea na safari ya kurejea nyumbani Tanzania. #NguvuMoja