Kikosi cha Yanga Sc kinatarajia kuondoka jijini Dar Es Salaam leo Asubuhi kuelekea mkoani Iringa tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Lipuli Fc utakaopigwa Jumamosi hii March 16 katika uwanja wa Samora mkoani humo.
Kikosi cha Yanga Sc kinatarajia kuondoka jijini Dar Es Salaam leo Asubuhi kuelekea mkoani Iringa tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Lipuli Fc utakaopigwa Jumamosi hii March 16 katika uwanja wa Samora mkoani humo.