RATIBA: Mechi za Leo Tpl

Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo inaingia mzunguuko wa 31 kwa michezo mitatu kupigwa

Vinara wa ligi hiyo Yanga wao watashuka dimbani mkoani Iringa kesho Jumamosi kuikabili Lipuli Fc katika mchezo ambao matokeo ya ushindi yatazidi kuin’garisha timu hiyo kileleni