CRISTIANO RONALDO Apigwa Faini #Style ya USHANGILIAJI

Breaking | Uefa wamempiga faini ya Euro 20,000 mshambuliaji wa Juventus Cristiano Ronaldo kutokana na style aliyotumia kushangilia moja ya magoli yake dhidi ya Atletico Madrid.

Hivyo Ronaldo yupo huru kukipiga kwenye mchezo ujao wa robo fainali dhidi ya Ajax