DORTMUND: na Callum Hudson Odo

Klabu ya Borussia Dortmund inajipanga kuanza mazungumzo na klabu Chelsea ili kuona uwezekano wa kumpata mshambuliaji wake Callum Hudson Odoi ili kuwa mbadala wa Jadon Sancho endapo atatimkia Man United.
.

Licha ya kusisitiza kuwa hawatamuuza nyota huyo BVB wanahofia huenda wakalazimika kumpiga bei ifikapo mwishoni mwa msimu huu ikiwa kama Sancho atahitaji kuondoka.