Katika kuhakikisha inasajili wachezaji wanaoendana na mashindano wanayoshiriki, klabu ya Simba Sc imeanza kuwania saini ya beki wa kati wa As Vita Yannick Bangala Litombo (24) ili kuongeza nguvu katika kikosi chao msimu ujao. .
.
Mchezaji huyo ni beki wa kati mwenye umri wa miaka 24 lakini April 14 atakuwa anafikisha miaka 25 anaurefu wa mita 1.88 uraia wake ukiwa ni wa Congo.
Mchezaji huyo amewahi kucheza Les Stars ya Congo, Dc Motema Pembe na kisha akajiunga na As Vita ambayo amecheza nayo kwa mafanikio na kutajwa mara kadhaa kama moja ya mabeki bora wa kati barani Afrika kwasasa.
ambapo mkataba wake unatarajia kumalizika 30 Juni 2019
.
.
Mbali na hilo Litombo ni moja ya mabeki wanaounda kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chini ya kocha Florent Ibengé akisaidiana na Mwinyi Zahera.
#sokaonline
.
.
Mbali na hilo Litombo ni moja ya mabeki wanaounda kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chini ya kocha Florent Ibengé akisaidiana na Mwinyi Zahera.
#sokaonline
.
Mbali na hilo Litombo ni moja ya mabeki wanaounda kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chini ya kocha Florent Ibengé akisaidiana na Mwinyi Zahera.
#sokaonline