
Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa, ulishuhudiwa na malfu ya mashabiki walioongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamis Kigwangala
Simba itajilaumu yenyewe kwa kushindwa kuibuka na ushindi licha ya kutengeneza nafasi nyingi hasa kwenye kipindi cha pili
Haikuwa siku nzuri kwa nahodha John Bocco ambaye alikosa mkwaju wa penati pamoja na nafasi nyingine mbili
Simba italazimika kupata matokeo ugenini ili kuweza kufuzu nusu fainali