Uzinduzi Changia Yanga kufanyika Dodoma leo

Kamati maalumu ya uzinduzi na uhamasishaji inayoongozwa na Mwenyekiti Mh Anthony Mavunde, leo itazindua rasmi kampeni ya kuichangia Yanga katika hafla itakayofanyika Hoteli ya Morena jijini Dodoma

Hafla hiyo itahudhuriwa na wabunge, wafanyabiashara, wasanii na watu maarufu ambao ni wadau wakubwa wa klabu Yanga

Itaanza saa 12 jioni