Hawa hapa waliochukua fomu za kuwania uongozi Yanga

Jana April 07 2019 ndio ilikuwa siku ya mwisho kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika klabu ya Yanga kurudisha fomu.

Wagombea 28 walichukua na kurudisha fomu ndani ya muda uliopangwa

Hii hapa orodha ya wagombea wote kulingana na nafasi zao;

MWENYEKITI

Dk Mshindo Msolla

Lucas Mashauri

Elias Mwanjala

MAKAMU MWENYEKITI

Mh Janeth Mbena

Samwel Lukumay

Thobias Lingalangala

Fredrick Mwakalebela

WAJUMBE

Ally Sultan

Saady Mohammed

Hassan Hussein

Siza Lymo

Dminick Albinus

Seko Kingo

Hamad Islam

Shafiru Makosa

Eng Leonard Malango

Cyprian Musiba

Eng Bahati Mwaseba

Nasoro Ally Matuzya

Abdallah Chikawe

Hussein Nyika

Rdgers Gumbo

Said Ntimizi

Palina Conrad

Elias Mkumbo

Suma Mwaitenda

Seif Hassan Seif

Haruna Batenga

NB:

Orodha hii haijumuishi wagombea waliopitishwa kwenye mchakato wa mwanzo wa kujaza nafasi zilizowazi