Timu yetu ya vijana kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Taifa ya Cameroon U-17, mchezo huo utachezwa kesho kwenye viwanja vya JK Youth Park kuanzia saa 9:30 alasiri. #NguvuMoja


Timu yetu ya vijana kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Taifa ya Cameroon U-17, mchezo huo utachezwa kesho kwenye viwanja vya JK Youth Park kuanzia saa 9:30 alasiri. #NguvuMoja

