
Wawa alipata majeraha ya kifundo cha mguu kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa uwanja wa Taifa ambao ulimalizika kwa suluhu ya bila kufungana
Uongozi wa Simba umethibitisha kuwa Wawa atakaa nje kwa wiki moja
Wawa hatajumuishwa kwenye kikosi cha Simba kitakachoondoka Alfajiri ya kesho kuelekea Lubumbashi