
Mchezo huo utapigwa kesho Alhamisi katika dimba hilo
Kocha Mkuu wa mabingwa hao wa kihistoria Mwinyi Zahera amesema mazoezi waliyofanya tangu jana yalikuwa ya kuondoa uchovu kwa wachezaji wake
Amesema ana matarajio kuwa vijana wake watakuwa sawa katika mchezo wa kesho baada ya kuwapa mazoezi hayo maalum







