TETESI: Usajili SIMBA SC

Klabu ya Simba Sc inatarajia kuanza kulifanyia kazi pendekezo la kocha wake Mkuu Patrick Aussems kuwania saini ya beki wa kushoto wa Yanga Sc Gadiel Michael ili kurithi mikoba ya Asante Kwasi ambaye anaonekana kuwa dhaifu kwasasa mbele ya Mohamed Hussein. .
.
Inasemekana klabu hiyo itaachana na Asante Kwasi na kwa mujibu wa kocha mkuu wa klabu hiyo amependekeza jina la Gadiel Michael kuchukua nafasi hiyo
.
.
Mkataba wa Gadiel na Yanga Sc unatarajia kumalizika mwishoni mwa msimu huu.