
Zahera aliyazungumza hayo jana baada ya mchezo kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, mchezo ambao wenyeji waliondoka na ushindi wa bao 1-0
Zahera amesema kwa mfumo huu wa kuzibeba dhahiri baadhi ya timu, ana mashaka na hatma ya mpira wa Tanzania kuwa utaendelea kubaki chini