Simba ilivyojifua Mwanza

Baada ya kuwasili jijini Mwanza mapema leo, jioni kikosi cha Simba kiliendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Alliance Fc

Mchezo huo utapigwa keshokutwa, April 23 2019 katika uwanja wa CCM Kirumba