Klabu ya KRC GENK anayochezea mtanzania Mbwana Samatta imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi kuu nchini Ubelgiji maarufu kama Belgium Pro League mara baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Anderlecht huku ikisaliwa na mchezo mmoja mkononi.
.
Genk itamaliza mchezo wake wa mwisho ikiwa nyumbani dhidi ya St.Liege.
.
.
Hongera @samagoal77