CASILLAS: Mlinda lango wa Kimataifa wa Hispania, Iker Casillas Ametangaza kustaafu Soka rasmi hii leo;

– Mlinda lango wa Kimataifa wa Hispania, Iker Casillas Ametangaza kustaafu Soka rasmi hii leo; hili limekuja siku chache Baada ya kuruhusiwa hospitali ambako alikimbizwa kufuatia kupata Shambulio La Moyo wakati akiwa katika Mazoezi ya Klabu yake ya FC Porto..
.
– Legendary huyo amefanikiwa kucheza jumla ya mechi 881 ngazi ya Vilabu na games 167 katika timu yake ya taifa ya Hispania na makombe aliyotwaa ni Kama..
• 1x World Cup 🏆
• 2x Euro Championship 🏆
• 3x Champions League 🏆 • 5x La Liga 🏆
• 2x Copa del Rey 🏆
• 1x Club World Cup 🏆
• 1x Primeira Liga 🏆
🙌🏽🐐 #Updates

Leave a comment