TANZIA: – Kocha mkuu wa Mabingwa wa Nigeria, Klabu ya Lobi Stars FC 🇳🇬, Solomon Ogbeide amefariki Dunia jioni ya leo, Kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini Nigeria ni kwamba Ogbeide amefariki dunia kufuatia kuumwa kwa muda mfupi.
:
– Klabu ya Lobi Stars muda huu ipo Dimbani kucheza Mchezo wa Ligi dhidi ya Wikki Tourists , Baada Mchezo Klabu inatarajia kuthibitisha kifo cha kocha wao.
:
– Kocha huyo ametoka kuiongoza Klabu hiyo katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambapo wameishia hatua ya Makundi wakishika nafasi ya tatu na pointi zao Saba katika kundi A (W2,D1,L3).
RIP Ogbeide 💔
#Updates #nfpl
@Sokawaytz