Wizara ya Maliasili na Utalii imemteua Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kuwa balozi wa hiari wa utalii.

Wizara ya Maliasili na Utalii imemteua Nahodha wa Taifa
Stars, Mbwana Samatta kuwa balozi wa hiari wa utalii.Katika majukumu yake, Waziri @hkigwangalla amesema,
Samatta atatakiwa kuzungumza Kiswahili mara kwa mara,
kuitaja #Tanzania na pia kutumia bendera ya nchi. . . … .. . . πŸ‘‰ Samatta ambaye ni mchezaji wa timu ya
KRC Genk ya Ubelgij atashuka nchini
usiku wa saa 9 kwa ajili ya kujiunga na
Timu ya Taifa ambayo inakwenda
kushiki michuano ya Afcon nchini Misri
na inakwenda ikiwa ni baada ya miaka
39 kupita.