
– Imethibitisha Rasmi, Dani Alves ndiye nahodha mpya wa timu ya taifa ya Brazil katika Michuano ijayo ya Copa América, Kocha Tite kampiga chini Staa wao, Neymar Jr ambaye alimpa kitambaa hicho mwaka jana kuwa nahodha wa Brazil.
:
Brazil wanatarajia kuwa wenyeji wa Copa America, Mabingwa hao Mara Nane Mara ya mwisho mwaka 2016 walifanya vibaya lakini mwaka huu wakiwa kundi A pamoja na Bolivia , Peru na Venezuela watajaribu kufanya vema zaidi, Brazil game yao ya kwanza katika Michuano hii wataanza na Bolivia ndani ya Sao Paulo siku ya June 14..
#Updates
@Sokawaytz
credit: @sokawaytz
