Neymar avuliwa unahodha Brazil ,Daniel Alves apewa Kitambaa

– Siku Baada ya Kuvuliwa unahodha, Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr ameondolewa katika Viwanja vya Mazoezi ya timu hiyo ya taifa Baada ya kupata Majeraha ya mguu wake wa kushoto.

.

– Kocha Tite alitangaza kumpa kitambaa cha unahodha Neymar mwaka jana, na Sasa ameamua kumvisha Dani Alves ambaye atawaongoza wenzake katika fainali za Copa America mwezi ujao wao wakiwa wenyeji.. Neymar alionekana kujilazimisha kufanya mazoezi lakini haikiwa nzuri na baadade Daktari wa timu hiyo ya taifa Rodrigo Lasmar alipoamua atolewe kwenda kufanyiwa uchunguzi zaidi..

#Updates

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz

Leave a comment